natafuta girlfriend

natafuta girlfriend

Miaka 16? .. Na wewe uko Chuo?

Statutory rape case inakuita. Shame on you!
 
Nipo hapa, njoo! Au sema upo University gani? Maeneo yapi? Unasoma kozi gani? Mwaka wa ngapi? GPA yako ya hivi karibuni ni ngapi? Kwenu wapi? Wewe kabila gani? Umri wako je? Dini gani? Kwenu wewe ni motto wa ngapi? Wazazi wako wapo? Ulilelewa na Wazazi wako wote, mmoja au hakuna? Wewe ni mrefu, mfupi au wa wastani? Ni maji ya kunde, mweusi, mweupe au mwekundu? Umewahi kuwa na mpenzi? Kama ni ndiyo, ilikuwaje mkaachana? Kama siyo, kwa nini? Na kwanini leo, tena muda huu ndipo ulipoamua kutafuta Girlfriend? Kwanini isiwe juzi, jana au kesho? Hivi nini tofauti ya Girlfriend, mchumba, mpenzi na demu? Unayaelewa vema majukumu yako pindi utakapompata huyo unayemuita Girlfriend? Nini mipango yako katika maisha, hasa baada ya kumpata huyo Girlfriend? Umeshawaambia na Wazazi wako kuwa sasa unasaka Girlfriend? Nani mdhamini wako hasa katika hatua hii uliyofikia? Naomba unijibu haya kasha tukutane!
 
Nipo hapa, njoo! Au sema upo University gani? Maeneo yapi? Unasoma kozi gani? Mwaka wa ngapi? GPA yako ya hivi karibuni ni ngapi? Kwenu wapi? Wewe kabila gani? Umri wako je? Dini gani? Kwenu wewe ni motto wa ngapi? Wazazi wako wapo? Ulilelewa na Wazazi wako wote, mmoja au hakuna? Wewe ni mrefu, mfupi au wa wastani? Ni maji ya kunde, mweusi, mweupe au mwekundu? Umewahi kuwa na mpenzi? Kama ni ndiyo, ilikuwaje mkaachana? Kama siyo, kwa nini? Na kwanini leo, tena muda huu ndipo ulipoamua kutafuta Girlfriend? Kwanini isiwe juzi, jana au kesho? Hivi nini tofauti ya Girlfriend, mchumba, mpenzi na demu? Unayaelewa vema majukumu yako pindi utakapompata huyo unayemuita Girlfriend? Nini mipango yako katika maisha, hasa baada ya kumpata huyo Girlfriend? Umeshawaambia na Wazazi wako kuwa sasa unasaka Girlfriend? Nani mdhamini wako hasa katika hatua hii uliyofikia? Naomba unijibu haya kasha tukutane!

kudadadadadadadaadadeki.
 
mkuu ndo maana npo chuo
 
nikisema girl -friend sio huyo wa kimapenzi mkuu wa kuchat naye tu kwenye socia networks
 
mkuu mimi ni kijana tu sio zaidi ya 22 years niliyonayo na sio mchumba natafuta rafiki tu wa kuchat naye kwenye social networks nimeweka interval ya miaka ili tu niwe mshauri mzuri wa huyo binti.sina jipya zaidi ya hilo mkuu pia sikutaka wakiume kwa sababu ninao wengi saaana so nataka niongeze marafiki wa kuchat wa jinsa tofauti ni mimi
 
tatizo kubwa la vijana ukisema girlfriend tayari wanaenda direct kwenye sex love mimi natafuta rafiki wa kike wa kuchat naye na sio vinginevyo ndo hivyo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom