lisiwe la uwizi
liwe na uwezo wa kuwasha tv mbili kubwa za nch 28 , projector mbili, ving'amuzi vinne.
pesa cash iliyopo mkononi ni sh laki moja tu, pesa inaweza kuwa adjusted.
tukitest wote na kuona inaweza kuwasha vifaa hivyo tajwa pesa yako nakupatia cash papo hapo.
likiwa ni Honda itwakuwa safi zaidi.
send me pm or call 0714345958
napatikana Ubungo, Dar Es Salaam.
Generator laki moja..!!!!??? Labda very usedlisiwe la uwizi
liwe na uwezo wa kuwasha tv mbili kubwa za nch 28 , projector mbili, ving'amuzi vinne.
pesa cash iliyopo mkononi ni sh laki moja tu, pesa inaweza kuwa adjusted.
tukitest wote na kuona inaweza kuwasha vifaa hivyo tajwa pesa yako nakupatia cash papo hapo.
likiwa ni Honda itwakuwa safi zaidi.
send me pm or call 0714345958
napatikana Ubungo, Dar Es Salaam.
Ni kVAmkuu.Jenerata laki 1?? Kv ngapi? Jipange
generator laki moja..!!!!??? Labda very used
jenerata laki 1?? Kv ngapi? Jipange
pesa cash iliyopo mkononi ni sh laki moja tu, pesa inaweza kuwa adjusted.
Genset ya laki 1..??? Hata kama unasema nina kiherehere, la laki sahau.. Wenzio tunayajuwa hayo madude.... We kama unaposti kitu humu JF halafu unataka komenti ziseme unayoyataka wewe... Jitoe humuJifunzeni kusoma na kuelewa na sio kukurupuka.
si dalili nzuri mtoto wa kiume kuwa na kiherehere na kimbelembele.
Simu nokia Asha ya line mbili ya elfu hamsini umeshapata!??
mkuu kiherehere huelewi maana ya pesa inaweza kuwa adjusted??? ulitaka niseme pesa cash mkononi ni milioni moja???? unaweza ukasema una cash mkononi elfu10 lakini ukaletewa kitu kizuri ukapagawa ukatoa hata milinon 10 !!Genset ya laki 1..??? Hata kama unasema nina kiherehere, la laki sahau.. Wenzio tunayajuwa hayo madude.... We kama unaposti kitu humu JF halafu unataka komenti ziseme unayoyataka wewe... Jitoe humu
hivi vitu ni vya kawaida sana mbele/urraya/marekani, kuna watu wana vitu hawavihitaji tena sababu wamesha-upgrade au wanahama nchi au mkoa kusafiri navyo usumbufu, sijui ni kipi ambacho huelewi??Mkuu, huyo jamaa hana haja na genset huyo... Na inaonekana kila kitu anapanga bei yeye na hataki mjadala...
lisiwe la uwizi
liwe na uwezo wa kuwasha tv mbili kubwa za nch 28 , projector mbili, ving'amuzi vinne.
pesa cash iliyopo mkononi ni sh laki moja tu, pesa inaweza kuwa adjusted.
tukitest wote na kuona inaweza kuwasha vifaa hivyo tajwa pesa yako nakupatia cash papo hapo.
likiwa ni Honda itwakuwa safi zaidi.
send me pm or call 0714345958
napatikana Ubungo, Dar Es Salaam.
hivi vitu ni vya kawaida sana mbele/urraya/marekani, kuna watu wana vitu hawavihitaji tena sababu wamesha-upgrade au wanahama nchi au mkoa kusafiri navyo usumbufu, sijui ni kipi ambacho huelewi??
humu jf nimeshawahi pata tv 14' kwa elfu30 tu, nilipata king'amuzi cha star times kwa elfu30, sio kama nawakebehi walioniuzia ni kwamba walikuwa hawavihitaji tena, na hadi leo vinafanya kazi vizuri tu.
na sio kama ni najipangia bei, nafikir ni kawaida ukitaka kitu muhimu kusema pesa iliyopo mkononi, ulitaka nisiseme bei ya kuanzia?? kama huna piga kimya, watakuja wenye navyo kama pesa haitoshi tutaongea na tutakutana mahali tu.
Generator la laki 1 au laki 1 ya dalali? sijakuelewa mkuu.