drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
mi ninayo jiyo starlet ntakuuzia kwa sh million 1.5 ila ntakutambulisha pia na mafund ufahamiane nao na garage ambayo wameizoea hiyo gari. usidhan ina tatizo la hasha bas tu ndugu yangu nauza sabab nahitaj sana pesa.
yani mkuu nimependa maelezo yako yani upo wazi kiasi kwamba wote wanaouzaga vmeo wangekuwa kama ww wala shida isingekuwepo