Kwa aina ya hizo gari hata bajeti yako ikiwa mil 4 utapata tu nzuri, ila hakikisha unamchukua fundi unayemjua na anayejua sana magari.okh usijali mkuu nasubiri
Ninafanya ukaguzi wa magari yaliyotumika, ninatumia mbinu za jadi na tuugangauganga kidogo tu ila matokeo makubwaHabari wakuu,
Natafuta gari yakununua bajeti yangu sh ml. 5 mwenye kuuza gari yake anicheki pm, alteza, brevis zitapendeza zaidi, Namba Kati ya C,D itapendeza zaidi.
Asanten.
View attachment 1657659
Asante sana mkuu ntaliangalia hiloKwa aina ya hizo gari hata bajeti yako ikiwa mil 4 utapata tu nzuri, ila hakikisha unamchukua fundi unayemjua na anayejua sana magari.
Brevis zina matatizo sana, hivyohivyo kwa altezza, zote hizo zina magonjwa sugu kwenye engine





Ngoja nikutafutie connectionKimyaaaa jamani, NATAFUTA GARI
Ongeza 1m nikuuzie Spacio namba C lakini bado nzima sanaKimyaaaa jamani, NATAFUTA GARI
IST ikikufaa ninayo. Ametumia mwanamke kwa miaka 3.Habari wakuu,
Natafuta gari yakununua bajeti yangu sh ml. 5 mwenye kuuza gari yake anicheki pm, alteza, brevis zitapendeza zaidi, Namba Kati ya C,D itapendeza zaidi.
Asanten.
View attachment 1657659
Tafuta pesa mkuu hutopata shida hii..Kimyaaaa jamani, NATAFUTA GARI