Natafuta gari ya kununua

Natafuta gari ya kununua

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,778
Reaction score
2,052
....
 

Attachments

  • IMG-20201220-WA0005.jpg
    IMG-20201220-WA0005.jpg
    79.7 KB · Views: 26
Habari wakuu,

Natafuta gari yakununua bajeti yangu sh ml. 5 mwenye kuuza gari yake anicheki pm, alteza, brevis zitapendeza zaidi, Namba Kati ya C,D itapendeza zaidi.

Asanten.
View attachment 1657659
Ninafanya ukaguzi wa magari yaliyotumika, ninatumia mbinu za jadi na tuugangauganga kidogo tu ila matokeo makubwa
 
Kwa aina ya hizo gari hata bajeti yako ikiwa mil 4 utapata tu nzuri, ila hakikisha unamchukua fundi unayemjua na anayejua sana magari.
Brevis zina matatizo sana, hivyohivyo kwa altezza, zote hizo zina magonjwa sugu kwenye engine
Asante sana mkuu ntaliangalia hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom