King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,371
- 88,577
Gari ya kununua? Kwani kuna watu wanatafuta gari ya kupewa au kuokota?
Kenge ww
IST ikikufaa ninayo. Ametumia mwanamke kwa miaka 3.
Na gari za wanawake zimepigwa pass sana kwa reckless driving yaoNashangaaga sana watu wanaotumia kigezo cha mwanamke kuuza gar! Kwani wao wanabara bara zao? Au gar zao ni maalumu? Wanawake ndo wako rafu sana na sio watunzaji!
Acha Uzwazwa!! Gari ya kununua ndio nini? Kwani kuna gari za kuokota?
Kuna gari za kukodiAcha Uzwazwa!! Gari ya kununua ndio nini? Kwani kuna gari za kuokota?
Kuna gari za kukodi
Ipo Toyota Ractis Namba DSN inataka 6.7MilKIMYAAAA
Check your WhatsAppPicha
Fika nane na nusu nikupe subaru kilometers 132300 namba haina tatizo lolote Sema tu nataka kuiuza ninunue gar ingineHabari wakuu,
Natafuta gari yakununua bajeti yangu sh ml. 5 mwenye kuuza gari yake anicheki pm, alteza, brevis zitapendeza zaidi, Namba Kati ya C,D itapendeza zaidi.
Asanten.
View attachment 1657659
Zipo za kukodishwa na pia zipo za kuazimwaAcha Uzwazwa!! Gari ya kununua ndio nini? Kwani kuna gari za kuokota?
Hahaaa sema na wew unataka mkuuUsikubali waje piemu,waambie waweke hapa hapa huko piemu watakupiga
Mama wa rafiki yangu anauza Nissan Note kwa 6.5M maongezi yapo. Nissan Note 2006 No.T655DDS, cc 1500 km140000, rangi ya silver. Ubavuni hapo mama yetu alivamia geti kwa ujumla ni gari nzima kama mnavojua mama zetu sio watumiaji sana wa magari so muda mwingi gari imepaki home kwake. Kwa mawasiliano zaidi 0652494919.