natafuta gari kwa bei poa!!

natafuta gari kwa bei poa!!

ligolyser

Senior Member
Joined
May 9, 2013
Posts
155
Reaction score
15
ndugu wanajanvi natafuta gari nzuri na isiwe chini kwa bajeti ya mil4,isiwe automatic na fuel consumption yake iwe inakunywa vizur,ofa zinakaribishwa ill maneno ya kejeli na zarau hapa sio mahala pake kama unauwezo wa kununua magari makubwa na ya bei basi usituzarau sisi tunaonunua magari ya bei chee,,karibun
 
ndugu wanajanvi natafuta gari nzuri na isiwe chini kwa bajeti ya mil4,isiwe automatic na fuel consumption yake iwe inakunywa vizur,ofa zinakaribishwa ill maneno ya kejeli na zarau hapa sio mahala pake kama unauwezo wa kununua magari makubwa na ya bei basi usituzarau sisi tunaonunua magari ya bei chee,,karibun

nina suzuki carry manual nimeagiza mwaka juzi haihitaji matengenezo nauza milioni 4 na laki 5. pia fuel consumption yake iko poa sana
 
ndugu wanajanvi natafuta gari nzuri na isiwe chini kwa bajeti ya mil4,isiwe automatic na fuel consumption yake iwe inakunywa vizur,ofa zinakaribishwa ill maneno ya kejeli na zarau hapa sio mahala pake kama unauwezo wa kununua magari makubwa na ya bei basi usituzarau sisi tunaonunua magari ya bei chee,,karibun

Ninayo Chaser 4S, manual , imelipiwa kila kitu, matairi safi na spea ipo, bei 4.2M, ipo Arusha, just start and go!!! Interested call 0754 754 593
 
asante mkuu ila napendelea zaid gari yakutembelea

jombaa hata hii kwa kutembelea ni bomba sana. kwa wale wanaokaa kimara asubuhi wakienda kazini wanabeba mayai then jioni wakitoka kazini wanabeba chakula cha kuku inaitwa two in one.
 
Ipo mark2 saloon..m4..kama uko interested ni pm
 

Attachments

  • 21062013300.jpg
    21062013300.jpg
    326.4 KB · Views: 187
  • 21062013299.jpg
    21062013299.jpg
    264 KB · Views: 168
Ipo zuzuki vitara mannual short chases ipo bagamoyo cc 1490, bei 4m 0754827198
 
Back
Top Bottom