wewe sema unachotaka kufanya
....wewe utafuti Gari wala nini hiyo namba yako tunaipeleka TCRA tuone
kama imesajili au la?
Ndo zao hizo wewe jaribu kumtumia hata pesa kidogo ujue kama ni mtu mzuri uone ,wewe kama unafanya biashara kwanini utumie simu ambayo hajasajiliwa? why?
wewe sema unachotaka kufanya ....wewe utafuti Gari wala nini hiyo namba yako tunaipeleka TCRA tuone kama imesajili au la?
umenifumbua macho. Asante sana mkuu.