Mi ninayo,Habari zenu wadau. Kama kuna mwenye gari Allex au Runx namba D (ambayo haijachezewa Mileage) ani pm. Napatikana Dar.
Karibuni.
Tuwasiliane mkuuHabari zenu wadau. Kama kuna mwenye gari Allex au Runx namba D (ambayo haijachezewa Mileage) ani pm. Napatikana Dar.
Karibuni.
Hivi Tz kuna viwanda vya magari?Sio kupanda kwa kodi za magari tu kila kitu kimepandishwa ushuru kulinda viwanda vyandani
Hata cha matairi tu kimetushinda...Hivi Tz kuna viwanda vya magari?
Mi nimeisingizia kua inakula sana mafuta..mimi nina Subaru Legacy ,..T...DGT...mpyaaa haina tatizo hata la kusingiziwa
....kama unahitaji twende PM
...acha uoga mkuu...1litre=9 km mbona kawaida sanaMi nimeisingizia kua inakula sana mafuta
Si nimesema nalisingizia??...acha uoga mkuu...1litre=9 km mbona kawaida sana