Unayo mkuuHuku kwetu chuga tunaita forokobe.
Inaitwa Volkswagen Beetle.
Sina hata phoenix mkuu nimeyataja sababu jirani alikuaga nayo nikayafahamu.Unayo mkuu
Kweli bongo kuna mambo ngoja nikuulizie kwa jamaangu naona ipo kwao, ila iko juu ya mawe toka miaka ya tisini.







Old is gold... wapuuzi hawajui thamami yake... hawajui kama kuna gar ya mwaka 50' na inauzwa more than 80milHii kitu zinauzwa ghari sana.
Kama uko dar nenda pale ubungo kibo usawa wa kanisa la gwajima kuna jamaa ana gereji pale anavyo kibao wewe tuu ukitaka bovu au nzima ambalo amelifufua wewe tuu au zama vijijini huko unapata nzima kabisa kama mkoa wa kilimanjaro vijinini zipo nyingi sana nini jamaa yangu anakaa mbezi ana lake nzima kabisa saa hivi anatesa nalo mbaya huko roadBila kupoteza mda. Natafuta gari aina ya beetle au mgongo wa chura zile za kizamani. Mtu mwenye nayo ani pm
Kama uko dar nenda pale ubungo kibo usawa wa kanisa la gwajima kuna jamaa ana gereji pale anavyo kibao wewe tuu ukitaka bovu au nzima ambalo amelifufua wewe tuu au zama vijijini huko unapata nzima kabisa kama mkoa wa kilimanjaro vijinini zipo nyingi sana nini jamaa yangu anakaa mbezi ana lake nzima kabisa saa hivi anatesa nalo mbaya huko road
Ahsante mkuu. Ngoja nitaenda ubungo. Ila kuzama vijijini itakuwa ngumu kidogo
ziliwika enzi zetu, hadi Lwambo Makiad akaitungia wimbo wa kuisifu VW (VE WE) na azda. loooh, kwasasa ni mwendo wa ma brevis, Lamboghin, Prado, Tesla. VW zimetoweka yaani.Huku kwetu chuga tunaita forokobe.
Inaitwa Volkswagen Beetle.
Cheki na Mh Lema anazo kama 4