Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,628
- 1,289
wakuu natafuta note 2 second hand(isiwe mbovu), nna 350,000
na pia nikipata s3 used kwa 300,000 ntachukua!
nipo Dar, kama kuna anayeuza aniPM
Note: kabla sijainunua nitakuja na mtaalam wangu aichunguze kama ni fake au ni Original, so kama una clone wala hata usijisumbue nayo!
na pia nikipata s3 used kwa 300,000 ntachukua!
nipo Dar, kama kuna anayeuza aniPM
Note: kabla sijainunua nitakuja na mtaalam wangu aichunguze kama ni fake au ni Original, so kama una clone wala hata usijisumbue nayo!