Natafuta galaxy note 2 au galaxy s3 second hand(used)

Natafuta galaxy note 2 au galaxy s3 second hand(used)

Tangopori

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,289
wakuu natafuta note 2 second hand(isiwe mbovu), nna 350,000
na pia nikipata s3 used kwa 300,000 ntachukua!
nipo Dar, kama kuna anayeuza aniPM

Note: kabla sijainunua nitakuja na mtaalam wangu aichunguze kama ni fake au ni Original, so kama una clone wala hata usijisumbue nayo!
 
wakuu natafuta note 2 second hand(isiwe mbovu), nna 350,000
na pia nikipata s3 used kwa 300,000 ntachukua!
nipo Dar, kama kuna anayeuza aniPM

Note: kabla sijainunua nitakuja na mtaalam wangu aichunguze kama ni fake au ni Original, so kama una clone wala hata usijisumbue nayo!

Ojinal samsung galaxy s4 nimetumia miezi 7..simu haina haja ya fundi inajitest yenyewe au njoo na fundi wako ila bei ni laki 5......haishuki bei.
 
Ojinal samsung galaxy s4 nimetumia miezi 7..simu haina haja ya fundi inajitest yenyewe au njoo na fundi wako ila bei ni laki 5......haishuki bei.

Parefu sana kulingana na mkono wangu! ungefanya 400 ningekupa!
 
Mkuu hiyo ni bei ya clone ambayo ni kopi ya orijino s4 orijino babu bado imesimama kwenye laki 9.5 mpaka M1..mkuu yaani nipo fair simu bado katika hali yake
 
wakuu natafuta note 2 second hand(isiwe mbovu), nna 350,000
na pia nikipata s3 used kwa 300,000 ntachukua!
nipo Dar, kama kuna anayeuza aniPM

Note: kabla sijainunua nitakuja na mtaalam wangu aichunguze kama ni fake au ni Original, so kama una clone wala hata usijisumbue nayo!

Mi nina s3 nyeupe, ipo in good condition, nipo chalinze. Njoo na fundi wako tufanye biashara. Cheki namba yangu inbox nimekutumia.
 
Mwenzenu nahitaji tablet ya tecno g9 bei ya laki 3 naweza pata mpya?
Iwe dukani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom