Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,360
ndugu zangu wana jf, heshima kwenu,,, nina printer yangu aina ya hp deskjet series 1220C, inatatizo la kukata moto, yani unaiconnect kwenye umeme, then after some seconds inajizima yenyewe,,,mwenye kujua wapi ntapata fundi mzuri wa printer, ama mwanajamvi anaedeal na hivi vitu, maana najua i.t n comp science expatriets mpo wengi humu ndani, pliizz help me out,, napatikana sinza A daresalaam,
natanguliza shukrani za dhatu
natanguliza shukrani za dhatu