Am here tupeane ridhiki mkuu fund rang my wasup no 0757735884Kuna dogo mmoja nilichukua namba yake humu humu JF akanifanyia urembo wa ukutani. Dogo yuko vizuri na wapita njia wengi walichukua namba yake akawafanyie kazi. Ile namba sikumbuki nilisevu jina gani.
aje mwenyewe na aiweke portifolio yake hapa... sio kuituma kwenye pm
mimi pia namhitaji fundi mkali wa finishing. mwenye thread alijibu vema kuwa ni kwa faida ya wengi. hakuna haja ya kujaza server ya jf kuanzisha uzi mpya usio na ulazima.
JAMANI MAFUNDI HALISI MPO WAPI?
Hapo sipati picha Pms zilivyojaa huko kibao.
Maana hili tender sio la kitoto.
Watazuka mafundi na madalali wa mafundi humohumo.
Maana mafundi wengi humu JF hawamo,sasa mtu anatoa tender humu anamtafuta fundi kisha anakula percent,sio mbaya lakini awe fundi wa kweli na uhakika.
Ninaweza kupata mawasiliano ya mafundi wa finishing ya nyumba Kama ifuatavyo :-
1. Gypsum designer
2. Paint designer/skimming
3. Tiles
4. Garden designer
5. House decorater
Ahsante.
Ninaweza kupata mawasiliano ya mafundi wa finishing ya nyumba Kama ifuatavyo :-
1. Gypsum designer
2. Paint designer/skimming
3. Tiles
4. Garden designer
5. House decorater
Ahsante.
Hivi ni kweli hakuna mafundi wazuri wa finishing waliofanya kazi zinazoweza kuonekana waweke porttifolio zao jamani? Zinatolewa namba za madalali tuu humu!
ConmixNinaweza kupata mawasiliano ya mafundi wa finishing ya nyumba Kama ifuatavyo :-
1. Gypsum designer
2. Paint designer/skimming
3. Tiles
4. Garden designer
5. House decorater
Ahsante.