bishoke
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 274
- 52
Msaada kwenye tuta wana JF.
Natafuta fundi mzuri wa laptop ambaye anaweza kunisaidia kurekebisha laptop yangu yenye tatizo la kutokutambua (recognize) betrii wakati ikiwa kwenye umeme. Bila umeme batrii haifanyi kazi.
Asante sana, napatikana hapa 0784 398893
Natafuta fundi mzuri wa laptop ambaye anaweza kunisaidia kurekebisha laptop yangu yenye tatizo la kutokutambua (recognize) betrii wakati ikiwa kwenye umeme. Bila umeme batrii haifanyi kazi.
Asante sana, napatikana hapa 0784 398893