Natafuta fundi wa chaga ya kitanda.

Natafuta fundi wa chaga ya kitanda.

ENZO

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,248
Reaction score
1,745
Habari zenyu wanajamvi.ebwana natafuta fundi wa chaga za kitanda changu zilizovunjika jana wakati mimi na mama nginaa tukisheherekea sikukuu ya wapendanao,yeyote anayemfahamu fundi anijuze kwa PM miye niko mbags charambe.
MAPROSOO.
 
Too Much!!
Peleka FB utasaidiwa!!
 
Njaa kaali mipombe kama kazi
Kula hali kutembea kipindi cha jua kali
Hii haipendezi kwa mtu mwenye akili naujasili
Bhange ni bangue
Ukichelewa kuingia chooni utakuta kanya kayajaza
 
Habari zenyu wanajamvi.ebwana natafuta fundi wa chaga za kitanda changu zilizovunjika jana wakati mimi na mama nginaa tukisheherekea sikukuu ya wapendanao,yeyote anayemfahamu fundi anijuze kwa PM miye niko mbags charambe.
MAPROSOO.
P....vu zako usituletee ujinga wako kama vipi peleka Facebook............
 
Njaa kaali mipombe kama kazi
Kula hali kutembea kipindi cha jua kali
Hii haipendezi kwa mtu mwenye akili naujasili
Bhange ni bangue
Ukichelewa kuingia chooni utakuta kanya kayajaza

Utabaki mdomo juu juu katu usijue la kufanya..........(vp niongeze verse nyingine?)
 
P....vu zako usituletee ujinga wako kama vipi peleka Facebook............

Kama huna cha kuandika kaa kimya,unakaa nyagwa nini?
MAPROSOO.
 
yaani wewe unamtukana popobawa!?. nakuonea huruma. pole sana.

anabahati shughuli zote za upopo nimezikabidhi kwa nitonye.
MAPROSOO.
 
Njaa kaali mipombe kama kazi
Kula hali kutembea kipindi cha jua kali
Hii haipendezi kwa mtu mwenye akili naujasili
Bhange ni bangue
Ukichelewa kuingia chooni utakuta kanya kayajaza

Hii mistari inafanana exactly na ile ya kijana we2 wa NECTA!!!
MAPROSOO.
 
Utabaki mdomo juu juu katu usijue la kufanya..........(vp niongeze verse nyingine?)

minywele tumtum na kwenye sherehe natia timu
unasugulia viatu brash la kuoshea vyombo....?
wasahili wanasema ukiwa mkubwa dawa,sasa mbona kijana mwenzetu ume....
 
minywele tumtum na kwenye sherehe natia timu
unasugulia viatu brash la kuoshea vyombo....?
wasahili wanasema ukiwa mkubwa dawa,sasa mbona kijana mwenzetu ume....

Njinsi kijana anavyobadili tabia x2 inavyowezekana amesahau mila ya mtanzania ........
MAPROSOO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom