Natafuta fundi mzuri wa AC Dar

Natafuta fundi mzuri wa AC Dar

kuroiler

Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
50
Reaction score
24
Habari wadau naomba msaada wa mawasiliano wa fundi mzuri wa AC za magari
 
Habari wadau naomba msaada wa mawasiliano wa fundi mzuri wa AC za magari
Nenda mtaa wa shauri moyo kkoo karibu na TRA uliza kwa Makofia faster utampata tatizo lako litakwisha
 
Yupo Mwingine Hapo Sinza karibu na Lion hotel (Descol Refrigeration and Air condition) wako vizuri sana 0715 414161

hutojutia kufanya nao ka
 
Ninaku-PM namba zake mkuu!Huyu yupo vizuri sana na ana bei nzuri pia.Utanipa mrejesho.
 
Dah.....zamu ya mafundi AC na wauza maji kuvuna hela
 
Ninaku-PM namba zake mkuu!Huyu yupo vizuri sana na ana bei nzuri pia.Utanipa mrejesho.

ni PM namba zake mimi pia nataka nifanye matengenezo ya AC ya gari yangu. Nikiwasha ina blow upepo tuu na kuongeza vumbi na joto ndani ya gari. Hakuna ubaridi ata nikiweka coldest.
 
0713 -128-782 mpigie fundi AC anaitwa jimmy yuko ilala bungoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom