Natafuta Fundi Mwalimu wa Computer

Natafuta Fundi Mwalimu wa Computer

baba bora

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
1,500
Reaction score
1,096
Mwezi wa tisa napata likizo ya siku 50 .Napenda kutumia likizo hiyo kujifunza ufundi wa matatizo ya kawaida ya computer .Fundi yoyote aliye Dar es salaam na anawiwa kunisaidia kwa namna tutakayo kubaliana .Naomba ani pm mawasiliano yake. Asante
 
Back
Top Bottom