Ndugu wanajukwaa,natafuta friji ya kununua ambayo Ina sehemu ya freezer,iwe kwenye hali nzuri bajeti 250,000/= nasisitiza iwe kwenye hali nzuri.mwenye nayo njoo Pm tuwasiliane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.