Habari zenu wana jamii.
Natafuta fremu ya kufanyia biashara maeneo ya kigamboni mjimwema,geza au ungindoni kwa yeyote mwenye taharifa kuhusu fremu za biashara maeneo hayo au karibu na maeneo hayo kwa kigamboni.ianzie laki kushuka chini wakuu tusaidiane kwa hili.ani INBOX
Natafuta fremu ya kufanyia biashara maeneo ya kigamboni mjimwema,geza au ungindoni kwa yeyote mwenye taharifa kuhusu fremu za biashara maeneo hayo au karibu na maeneo hayo kwa kigamboni.ianzie laki kushuka chini wakuu tusaidiane kwa hili.ani INBOX