mpya au used? uko wapi? njoo pm plsMi ninayo nauza laki tano, ina kioo juu, ni westpoint liter 256 Compressa Danfoss.
kama hujui ni lita ngapi itakua ishu mkuu. Lita na aina ya friza ni muhimu kupata depreciation value vizuriMie ninayo ipo dsm used kwa mwaka mmoja nilinunua mpya...kubwa na ya kisasa sema sijachunguza lita ngapi ila ni kubwa....bei maelewano. Nilinunua laki 8 calculate deprecation value kisha nipe bei yako.