Mdogo wangu yupo mwaka wa pili Chuo cha Mzumbe, Kozi ya "Procurement and Logistic Supply'. Naombeni msaada wenu. Field zinaanza mwezi wa saba. lakini barua za kuombea zimetoka. Asanten
We acha hizo bwn. if u dnt wnt to help thn keep quite coz being a university student doesnt mean that u have evry thng. so my young doest have a phone/laptop whch supports internet, and i have a phone with internet thts y um helping. acha fikra mgando.
kama kweki yuko tayari kutumika vizuri katika sekta ya kifedha monday to monday bas naomba apeleke barua pale crdb azikiwe kama yuko lazy apeleke pale akiba makao makuu wanataka vijana wa field.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.