DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Wonders never cease
Nakuombea my dia inshallah utapataniombee na mimi
Njoo inbox kwa maongezi zaidikwa jina naitwa malamia
kabila langu mchaga
umri wangu miaka 35
mchapakazi sana
elimu ya chuo
sijawai kuolewa
sijawai kuzaa
naishi dodoma ila mwakani nitahamia dsm nimeajiriwa
dini mkristo
sinywi pombe
natafuta mwanaume mtu mzima anaejielewa kwa mahusiano ya moja kwa moja .
awe mtu mzima sana miaka 40 mpaka 60
nyotanjema2017@gmail.com
sawaNjoo inbox kwa maongezi zaidi
Hahahaha nmekumiss pia...nimekumiss mzee wa mita 200
ha ha ha mm siwabagui bwana nawapenda sanaHahahaha nmekumiss pia...
Mbaguzi wa vi ba 100
Mpaka leo haujafanikiwa mama pole mme wa kweli hatafutwi mitandaoni rudi kanisani uanze kuimba kwaya simple tu utampata mwamiñifukwa jina naitwa malamia
kabila langu mchaga
umri wangu miaka 35
mchapakazi sana
elimu ya chuo
sijawai kuolewa
sijawai kuzaa
naishi dodoma ila mwakani nitahamia dsm nimeajiriwa
dini mkristo
sinywi pombe
natafuta mwanaume mtu mzima anaejielewa kwa mahusiano ya moja kwa moja .
awe mtu mzima sana miaka 40 mpaka 60
nyotanjema2017@gmail.com
Wewe miaka 35 hujaolewa, ulikuwa wapi. Nyie ndio mlikuwa na maringo sasa umekuwa kibibi g. Ndugu yangu unaonekana unashida sana maana umetanga kwa kila namna. Utapigwa sana na hutaambulia unachotaka. Acha njaa ya mume. Jiamini wangapi wapo single na maisha yanaenda. Utakuwa wa kudanganywa hadi ukonde. Wapo mabinti wadogo 18 - 26 hatari. Huwezi kushindana nao. umechelewa tumia njia nyingine. Zaa mtoto mmoja tu uendelee na mais sha yako. Mshahara wa maringo ni huo.kwa jina naitwa malamia
kabila langu mchaga
umri wangu miaka 35
mchapakazi sana
elimu ya chuo
sijawai kuolewa
sijawai kuzaa
naishi dodoma ila mwakani nitahamia dsm nimeajiriwa
dini mkristo
sinywi pombe
natafuta mwanaume mtu mzima anaejielewa kwa mahusiano ya moja kwa moja .
awe mtu mzima sana miaka 40 mpaka 60
nyotanjema2017@gmail.com
Dodoma sehemu gani kama vip nkutafutekwa jina naitwa malamia
kabila langu mchaga
umri wangu miaka 35
mchapakazi sana
elimu ya chuo
sijawai kuolewa
sijawai kuzaa
naishi dodoma ila mwakani nitahamia dsm nimeajiriwa
dini mkristo
sinywi pombe
natafuta mwanaume mtu mzima anaejielewa kwa mahusiano ya moja kwa moja .
awe mtu mzima sana miaka 40 mpaka 60
nyotanjema2017@gmail.com
Vigezo na masharti kuzingatiwa,,,,! No shortcut....!vp nikiwa chini ya umri wako ila niko smart kuna tatizo, kama hakuna tatizo naomba nije mana nami najielewa sana
Hahahaaaa, masihara hayo natafutamungu wangu na mimi naelekea deadline
Pokea kadri ya imani yakoniombee na mimi
asant Mungu ni mwemaMpaka leo haujafanikiwa mama pole mme wa kweli hatafutwi mitandaoni rudi kanisani uanze kuimba kwaya simple tu utampata mwamiñifu
nilishahamaDodoma sehemu gani kama vip nkutafute
asanteKila la heri