Aika Mndumii
Senior Member
- Jan 19, 2013
- 164
- 47
Ndugu wadau,
Naomba msaada kama kuna mtu anamfahamu engeneer mzuri na mwaminifu sana kwenye maswala ya ujenzi wa nyumba kama ifuatavyo:
Sehemu: Kigamboni eneo la kibada kwenye viwanja vya serikali. Karibu na full shangwe.
Aina ya nyumba: Ni nyumba ya ghorofa moja
Ramani: Ramani ninayo tayari
Building permit: Iko kwenye process na itapatikana soon
Taratibu za ujenzi: Ujenzi utakuwa wa awamu na nitashauriana na huyo engineer on the best way to go about this.
Bei: Iwe ni makubaliano maana mimi si fisadi na asinicharge kama vile anajenga majumba ya kampuni.
Ujenzi unaanza lini: Mara moja mara baada ya kupata building permit;
Aina ya engineer: Engineer mwenye kampuni ni mzuri zaidi kwani nahisi kwenye kujenga ghorofa jamaa wa manispaa huwa wanafuatilia quality ya ujenzi na mara nyingi wanataka kuwe na bago la kampuni inayojenga (ila kwa mwenye ushauri zaidi kuhusu jambo hili nitashukuru sana.
Kama unamfahamu engineer mzuri ambaye ni mwaminifu naomba unipe namba yake au email then mimi nitampigia/mwandikia maana kwa sasa niko nje ya nchi na nitarudi baada ya wiki mbili. Nashukuru kwa msaada wenu.
Naomba msaada kama kuna mtu anamfahamu engeneer mzuri na mwaminifu sana kwenye maswala ya ujenzi wa nyumba kama ifuatavyo:
Sehemu: Kigamboni eneo la kibada kwenye viwanja vya serikali. Karibu na full shangwe.
Aina ya nyumba: Ni nyumba ya ghorofa moja
Ramani: Ramani ninayo tayari
Building permit: Iko kwenye process na itapatikana soon
Taratibu za ujenzi: Ujenzi utakuwa wa awamu na nitashauriana na huyo engineer on the best way to go about this.
Bei: Iwe ni makubaliano maana mimi si fisadi na asinicharge kama vile anajenga majumba ya kampuni.
Ujenzi unaanza lini: Mara moja mara baada ya kupata building permit;
Aina ya engineer: Engineer mwenye kampuni ni mzuri zaidi kwani nahisi kwenye kujenga ghorofa jamaa wa manispaa huwa wanafuatilia quality ya ujenzi na mara nyingi wanataka kuwe na bago la kampuni inayojenga (ila kwa mwenye ushauri zaidi kuhusu jambo hili nitashukuru sana.
Kama unamfahamu engineer mzuri ambaye ni mwaminifu naomba unipe namba yake au email then mimi nitampigia/mwandikia maana kwa sasa niko nje ya nchi na nitarudi baada ya wiki mbili. Nashukuru kwa msaada wenu.