Huwezi itaishia kwenye rent hyo.
Kuna vitu kama
1. Chuma la kupandishia gari au la matofali.
2. Sim Tank
3. Kuweka floor sehem ya kuoshea
4. Luku kama umeme hamna
5. Maji ya Dawasco ( Watu wanapenda ya Bomba )
Na hela nyingine ya emergency kama 1 M mpaka 2 M cz mashine zitaitaji service at some point.