Natafuta eBook reader (kindle)

Mzani

Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
80
Reaction score
5
Salaam

Ninatafuta eBook reader device aina ya amazon kindle; anayejua inapopatikana, naomba anijuze

Asante
 
Nipigie wakati wowote 0752 559802.Zipo used
na ni kama mpya zenye mikoba na zingine hazina.
 
Upo wapi? bajeti yako ni ngapi?. Jaribu kum PM Barraza, wakati fulani alikuwa nazo kwa laki na 80.
Kama hujuwi namna ya kumpata bonyeza link hii: https://www.jamiiforums.com/member.php?u=56823



kwa sasa nipo Handeni,

bajeti yangu iko vizuri itategemeana na device yenyewe.
Napenda zaidi kindle fire, hiyo ya laki na 80 ni aina gani?

NB: Asante kwa hiyo link ya Barraza nimesha mtumia ujumbe
 
Mie ninayo kindle keybord njoo nikuuzie kwa laki tatu na nusu already discounted. Nimenunua mwenyewe kutoka amazon
 
Niko dar, kuna mzigo wa Kindle umeshuka juzi kutoka USA. Zipo aina 2 moja ni 250,000 na nyingine ni 420,000.
 
Ngoja mie niendelee na homework zingine, jamaa hao hapo juu, nilikuambia huwezi kukosa vitu hivyo Dar!, lile somo la kujifunza ku-google lazima nikufundishe tu!

Sasa nitafute nikupe Na vitabu manake nnavyo vya kutosha hususani yale mambo yako yaleeeeeeee kina Myles Munroe, T D Jakes Na wengine lukuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…