Natafuta dada wa kuanzisha nae serious relationship

Natafuta dada wa kuanzisha nae serious relationship

nna rafiki yangu ila amekuzidi miaka kama mitano hivi lakini anakimwili kizuri anaonekana bado binti sana, kama hujali mambo ya umri nikuunganishe nae

Umekuwa dalali? Mwambie aje mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom