ERIK
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 623
- 315
Habar ndugu zangu!! mimi na Mwanaumwe mwenye umri wa miaka 30' nimekuwa katika mahusiano lakini yasiyo na manufaa, i mean sio serious relation sababu ya aina ya wasichana wenyewe!
Now days wadada wengi ni wahuni, tamaa na si wife materials, kama unahisi wewe ni mdada mwenye heshima, maadili na unajitambua saana naomba ni PM please maana naamini Mungu anaweza simamia na kutuunganisha..
NB: dini yangu ni mkristo, naishi dar, nimeajiriwa na nina biashara pia.............!!
sibagui kabila wala rangi ila napenda mdada mrefu kiasi (asiwe mfupi) ili tuendane
thanks for understanding..........
Now days wadada wengi ni wahuni, tamaa na si wife materials, kama unahisi wewe ni mdada mwenye heshima, maadili na unajitambua saana naomba ni PM please maana naamini Mungu anaweza simamia na kutuunganisha..
NB: dini yangu ni mkristo, naishi dar, nimeajiriwa na nina biashara pia.............!!
sibagui kabila wala rangi ila napenda mdada mrefu kiasi (asiwe mfupi) ili tuendane
thanks for understanding..........