Natafuta dada wa kazi za nyumbani

Natafuta dada wa kazi za nyumbani

lady Jay

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2016
Posts
529
Reaction score
655
Habari wapendwa,

Natafuta dada wa kazi anayejielewa . Nahitaji mtu anayeweza kulea mtoto na awe mchapakazi.

Mtoto wangu ana miaka 2 na hajisaidii kwenye nguo hivyo asiwe na wasiwasi.

Mwenye connection wa binti naomba anisaidie please anayeweza kulea mtoto kwasababu atakua anashinda nae nyumban mimi nikienda kazini.

Umri wowote ila asiwe chini ya miaka 16.

Mkoa wowote ila kwa sasa sitamani binti wa Tanga wala Singida (ila akipatikana mwenye nidhamu na kujielewa sawa.

Mimi niko Arusha na nakaa tu na mwanangu hvyo awe tayari kuishi Arusha.
 
Ofa yako kiasi gani??? kuna binti kutoka Ukerewe Mwanza umri miaka 18
 
Ofa yako kiasi gani??? kuna binti kutoka Ukerewe Mwanza umri miaka 18
Maelewano..50,000 to 60,000 but ataongezewa kulingana na uchapakazi wake.

Pia, mahitaji yake ya muhimu atapewa
 
Habari wapendwa,

Natafuta dada wa kazi anayejielewa . Nahitaji mtu anayeweza kulea mtoto na awe mchapakazi.

Mtoto wangu ana miaka 2 na hajisaidii kwenye nguo hivyo asiwe na wasiwasi.

Mwenye connection wa binti naomba anisaidie please anayeweza kulea mtoto kwasababu atakua anashinda nae nyumban mimi nikienda kazini .

Umri wowote ila asiwe chini ya miaka 16.

Mkoa wowote ila kwa sasa sitamani binti wa Tanga wala Singida( Ila akipatikana mwenye nidhamu na kujielewa sawa.)

Mimi niko Arusha na nakaa tu na mwanangu hvyo awe tayari kuishi Arusha.
Baba wa kushirikiana nae kulea mtoto hauitaji
 
Habari wapendwa,

Natafuta dada wa kazi anayejielewa . Nahitaji mtu anayeweza kulea mtoto na awe mchapakazi.

Mtoto wangu ana miaka 2 na hajisaidii kwenye nguo hivyo asiwe na wasiwasi.

Mwenye connection wa binti naomba anisaidie please anayeweza kulea mtoto kwasababu atakua anashinda nae nyumban mimi nikienda kazini.

Umri wowote ila asiwe chini ya miaka 16.

Mkoa wowote ila kwa sasa sitamani binti wa Tanga wala Singida (ila akipatikana mwenye nidhamu na kujielewa sawa.

Mimi niko Arusha na nakaa tu na mwanangu hvyo awe tayari kuishi Arusha.
Angalia PM kwako
 
Back
Top Bottom