mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,740
- 136,399
No pm namba yako wasap nkutumie gari iko vizuri utafikiri bongo imeingia jana toka japanHio ndio mwisho
No pm namba yako wasap nkutumie gari iko vizuri utafikiri bongo imeingia jana toka japanHio ndio mwisho
Tanzania shiling mkuu au hela ya mafafuHizo hela mnazoongelea ni TSH ama dola
Kumbe zipo gari za mpaka million moja!!😱😱😱
Zipo nyingi usikate tamaa utapata,ila marekebisho kidogo mpaka ikae barabarani itahitajika walau 1m nyingine.Kwa ushauri ningekushauri utafute kama 3m utapata nzuri kidogo.
Unaongea hivyo kwakuwa haujawah kuendesha Gari za bei hiyo ama unataka kufurahisha jukwaa! We pita tuUnataka gari au scraper?
Ongeza 1mln hapo iwe 4mln nikupatie carina 1997 model full ac na ukiona hutaiacha. ...trust me
Unataka gari au scraper?
Ok hapa zimekata ku upload ngja nku pm namba yangu ya wasap chiefnitumie picha zake pm au ziweke hapa
Ok hapa zimekata ku upload ngja nku pm namba yangu ya wasap chief