Natafuta conection ya kazi ufundi wa magari

Natafuta conection ya kazi ufundi wa magari

lwa kalolo

Senior Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
182
Reaction score
123
Habari ndugu zangu ,mimi ni fundi wa kunyohosha magari yaliyopata ajari (car body repair )sikusomea darasani ila nilijifunza mtaani na ni mzoefu sana kwa kazi zifuatazo kufanya setting ,kunyohosha,kuchanganya rangi ,kupulizia rangi mimi niko mwanza natanguliza shukurani

IMG_20180910_183030.jpg
IMG_20181011_135339.jpg
IMG_20180923_150642.jpg
 

Attachments

  • IMG_20181011_135317.jpg
    IMG_20181011_135317.jpg
    667.7 KB · Views: 15
  • IMG_20181011_135308.jpg
    IMG_20181011_135308.jpg
    643.1 KB · Views: 18
  • IMG_20180929_182434.jpg
    IMG_20180929_182434.jpg
    596.5 KB · Views: 19
  • IMG_20241230_175538_356.jpg
    IMG_20241230_175538_356.jpg
    694.3 KB · Views: 17
  • IMG_20241119_080216_232.jpg
    IMG_20241119_080216_232.jpg
    641.4 KB · Views: 15
Wazo:-​
  • Fundi injini awepo​
  • Fundi umeme wa magari awepo​
  • Fundi wa bodi (wewe) awepo​
Tafuteni eneo linalofaa/kukodishwa kwa ajili ya matengenezo ya magari, wekeni mchanganuo, ili atakayeweza kuwekeza awekeze huku nyie mkiendelea kupata ajira.​
 
Wazo:-​
  • Fundi injini awepo​
  • Fundi umeme wa magari awepo​
  • Fundi wa bodi (wewe) awepo​
Tafuteni eneo linalofaa/kukodishwa kwa ajili ya matengenezo ya magari, wekeni mchanganuo, ili atakayeweza kuwekeza awekeze huku nyie mkiendelea kupata ajira.​
Umempa wazo bora ila kwa vijana wa bongo ngumu kukuelewa
 
Back
Top Bottom