Mtafte Bishoo.com ypo umu JF atakup usaidiz ndo mmbo yke aya. Sahv pambania marketing kwanzHabari wakuu,
Nina platform ya online shopping ambayo tayari ipo hewani — kwenye website, Android na iOS. Tayari imekamilika kimuundo, na sasa natafuta mtu wa kuungana nami kama co-founder ili tusonge mbele pamoja.
Nahitaji mtu ambaye ataweza kuchangia kwa kiasi fulani (either kifedha au nguvu kazi) halafu tusajili kampuni pamoja na kugawana hisa kwa makubaliano yetu. Tuko kwenye hatua za mwanzo kabisa, so this is a great time kuingia.
Weka namba ya simu nikucheki. This might be a dealHabari wakuu,
Nina platform ya online shopping ambayo tayari ipo hewani — kwenye website, Android na iOS. Tayari imekamilika kimuundo, na sasa natafuta mtu wa kuungana nami kama co-founder ili tusonge mbele pamoja.
Nahitaji mtu ambaye ataweza kuchangia kwa kiasi fulani (either kifedha au nguvu kazi) halafu tusajili kampuni pamoja na kugawana hisa kwa makubaliano yetu. Tuko kwenye hatua za mwanzo kabisa, so this is a great time kuingia.
0685915505 whatsapp au kawaidaWeka namba ya simu nikucheki. This might be a deal
Hapo itabidi uhitaji watu sio mtu.Habari wakuu,
Nina platform ya online shopping ambayo tayari ipo hewani — kwenye website, Android na iOS. Tayari imekamilika kimuundo, na sasa natafuta mtu wa kuungana nami kama co-founder ili tusonge mbele pamoja.
Nahitaji mtu ambaye ataweza kuchangia kwa kiasi fulani (either kifedha au nguvu kazi) halafu tusajili kampuni pamoja na kugawana hisa kwa makubaliano yetu. Tuko kwenye hatua za mwanzo kabisa, so this is a great time kuingia.
Asante kakaHapo itabidi uhitaji watu sio mtu.
unatakiwa uweke maelezo ya hio idea, picha mtu aamueHabari wakuu,
Nina platform ya online shopping ambayo tayari ipo hewani — kwenye website, Android na iOS. Tayari imekamilika kimuundo, na sasa natafuta mtu wa kuungana nami kama co-founder ili tusonge mbele pamoja.
Nahitaji mtu ambaye ataweza kuchangia kwa kiasi fulani (either kifedha au nguvu kazi) halafu tusajili kampuni pamoja na kugawana hisa kwa makubaliano yetu. Tuko kwenye hatua za mwanzo kabisa, so this is a great time kuingia.
Wizi wa idea. Mtu kama mchina akipata hints tu kesho unaiona software. Trust no body. Mie mwenyewe nina project 5 naziendeleza, project 3 ni kubwa sana AI amenishauri niunde team, sasa nani wa kumuamini au wa kujitolea ! Ukiamua umdokeze tu mtu ndio unaweza kuwa mwisho wa project yako. Mwafrika ni mtu asieaminika kabisa.unatakiwa uweke maelezo ya hio idea, picha mtu aamue
hata ndugu sio wa kumuamini piaWizi wa idea. Mtu kama mchina akipata hints tu kesho unaiona software. Trust no body. Mie mwenyewe nina project 5 naziendeleza, project 3 ni kubwa sana AI amenishauri niunde team, sasa nani wa kumuamini au wa kujitolea ! Ukiamua umdokeze tu mtu ndio unaweza kuwa mwisho wa project yako. Mwafrika ni mtu asieaminika kabisa.
For you own risk weka wazi peoject yako hapa ulie.
Wizi wa idea ? Idea bila pesa 😂Wizi wa idea. Mtu kama mchina akipata hints tu kesho unaiona software. Trust no body. Mie mwenyewe nina project 5 naziendeleza, project 3 ni kubwa sana AI amenishauri niunde team, sasa nani wa kumuamini au wa kujitolea ! Ukiamua umdokeze tu mtu ndio unaweza kuwa mwisho wa project yako. Mwafrika ni mtu asieaminika kabisa.
For you own risk weka wazi peoject yako hapa ulie.
Ideas ndio pesa yenyewe. Kama unadhani ideas sio pesa basi weka ideas zako hapa na ueleze jinsi ya kuzitekeleza kinaga ubaga.Wz
Wizi wa idea ? Idea bila pesa 😂
Nakipa hii.Nilipokuwa naa za maisha nilikutana na fundi selemala mmoja alikuwa ananiundia asset baadae akawa rafiki yangu. Akanidhauri ule mji hauna mashine ya kukeleza hivuo niinunue niiweke pale workshop. Moe nolikuwa na rafiki yangu meingine mtumish wa uma, kwa kuwa nmarafiki hudokezana mambo nami nakamdokeza.Wz
Wizi wa idea ? Idea bila pesa 😂
Wewe bado unashindwa kuelewaa sawa kuna vitu unaweza kuprotect idea yako kama ni unique sana na ya taaluma kubwa ila nyingine mfano kuhusu software saiv ukipata Good software engineering wanafanya tu hafu wazo lako kuna wengine wanalo wanalifanyia kazi mshindi anaeanza sio anaetunza idea hakuna kipya dunia hii watu wanaboreshaa tu..Nakipa hii.Nilipokuwa naa za maisha nilikutana na fundi selemala mmoja alikuwa ananiundia asset baadae akawa rafiki yangu. Akanidhauri ule mji hauna mashine ya kukeleza hivuo niinunue niiweke pale workshop. Moe nolikuwa na rafiki yangu meingine mtumish wa uma, kwa kuwa nmarafiki hudokezana mambo nami nakamdokeza.
Ebanaaee alienda bank kimya kimya akachukua mkopo akanunua ile mashine akaiweka kwenye ule mji. Baada ya kukamilika akaenda kunipeleka workshop ilipo. But mungu si Abdala mradi ulifel miserable akauuuza.
Kwa hio huwezi nipanga mkuu wabongo mawajua vizuri mie siwezi anika adea yangu labda tuingie mikataba.
Hicho kituo cha kusajili ideas chenyewe watu wameishapigwa sana. Umesahau AZAM na idea ya VITASA.
Bora idea yangu ife sio mtu akatajirike tu kiulaini. Mungu akupe kipawa wewe uwe masikini mwingine atajirike. HAPANA!
Ni mshamba mimi niliwah kua top 10 ya startup kugombeaa tuzo tupate wawekezaji ikashindikana ni ilikua kuhusu food delivery baade naona uberEat, doordash zinakiwasha ila still kama una vision usiogope competition we anza tu.. ndo nikatambua kupata network ya investor. Kuwekeza bongo bado still tuna lack investor. Wenye ukwasiiSasa shopping platform ni idea mpya?
Baadae vijana nchi watu wakijitambua tukawa na pesa startup za mbele hata idea ujinga zitapata pesa tu..Kweli kwa Tanzania wawekezaji ni wachache
kwamba ecommerce ndo idea ya kuiba? 🤣Wizi wa idea. Mtu kama mchina akipata hints tu kesho unaiona software. Trust no body. Mie mwenyewe nina project 5 naziendeleza, project 3 ni kubwa sana AI amenishauri niunde team, sasa nani wa kumuamini au wa kujitolea ! Ukiamua umdokeze tu mtu ndio unaweza kuwa mwisho wa project yako. Mwafrika ni mtu asieaminika kabisa.
For you own risk weka wazi peoject yako hapa ulie.
Sasa lama sio ya kuiba mbona watu wanataka maelezo, ya nini?kwamba ecommerce ndo idea ya kuiba? 🤣
Mkuu njia nzuri ni ipi? Kulinda project za watoto wa maskin waliosota Hadi kuiweka idea kwenye hewa au hata kuiandaa tu halafu anatokea fara mmoja anaiiba ama kukopi ,, au yoyotee anaetaka kuja kua co founder na wewe hata kuongea na wewe akisema umuelezee project ilivyo basi muingie mkataba wa kisheria kabisa ..Nakipa hii.Nilipokuwa naa za maisha nilikutana na fundi selemala mmoja alikuwa ananiundia asset baadae akawa rafiki yangu. Akanidhauri ule mji hauna mashine ya kukeleza hivuo niinunue niiweke pale workshop. Moe nolikuwa na rafiki yangu meingine mtumish wa uma, kwa kuwa nmarafiki hudokezana mambo nami nakamdokeza.
Ebanaaee alienda bank kimya kimya akachukua mkopo akanunua ile mashine akaiweka kwenye ule mji. Baada ya kukamilika akaenda kunipeleka workshop ilipo. But mungu si Abdala mradi ulifel miserable akauuuza.
Kwa hio huwezi nipanga mkuu wabongo mawajua vizuri mie siwezi anika adea yangu labda tuingie mikataba.
Hicho kituo cha kusajili ideas chenyewe watu wameishapigwa sana. Umesahau AZAM na idea ya VITASA.
Bora idea yangu ife sio mtu akatajirike tu kiulaini. Mungu akupe kipawa wewe uwe masikini mwingine atajirike. HAPANA!
Sawa ila approach zitatofautiana tu.Sidhan kama Amazon inalingana na Alibaba. Sio kIla idea ipo kwa kila mtu. Hakuna jipya chini ya jua ila kuna innovation mpya.Wewe bado unashindwa kuelewaa sawa kuna vitu unaweza kuprotect idea yako kama ni unique sana na ya taaluma kubwa ila nyingine mfano kuhusu software saiv ukipata Good software engineering wanafanya tu hafu wazo lako kuna wengine wanalo wanalifanyia kazi mshindi anaeanza sio anaetunza idea hakuna kipya dunia hii watu wanaboreshaa tu..
Mkuu bongo hii watu wanapiga bilioni 30 za uwanja tu hakuna mainvesta wenye fwedha?Ni mshamba mimi niliwah kua top 10 ya startup kugombeaa tuzo tupate wawekezaji ikashindikana ni ilikua kuhusu food delivery baade naona uberEat, doordash zinakiwasha ila still kama una vision usiogope competition we anza tu.. ndo nikatambua kupata network ya investor. Kuwekeza bongo bado still tuna lack investor. Wenye ukwasii