Magomeni, Mkwajuni, Studio, Manyanya mpaka Moroco.
Na mimi natafuta chumba maeneo haya haya ,chumba na sebule pawe na umeme na maji kodi ya jumla isizidi Tshs. 70,000 kwa mwezi.
Ukibadilisha mawazo unaweza kupata Kipunguni B, Kitunda karibu na stendi chumba (master), sebule na jiko kwa bei ya 100,000 kwa mwezi. Maji yapo na umeme upo.
hapo manyanya vipo km upo serious ni pm. Bei ni laki moja room kwa miezi 6.Magomeni, Mkwajuni, Studio, Manyanya mpaka Moroco.
Hiyo bei kwa maeneo hayo huwezi kupata rafiki. Bei hiyo uende wilaya ya ilala au temeke siyo kinondoni!Na mimi natafuta chumba maeneo haya haya ,chumba na sebule pawe na umeme na maji kodi ya jumla isizidi Tshs. 70,000 kwa mwezi.
hapo manyanya vipo km upo serious ni pm. Bei ni laki moja room kwa miezi 6.
Duu! Mkuu wewe ni mlinzi wa Ultimate nini?Du mpaka napatamani ila mkuu ninapofanyia kazi inabidi niwe naamka 10:30 na ratiba ya kazi ni 12hrs so kurudi inamaana waweza fika saa 4 usiku.
Mkuu kwa hiyo bei utapata meneo ya Tandale kwa Mtogole, Kwa Tumbo, Uzuri, Tandale Tanesco au kwa Alimaua, Kiwalani Bom Bom, Kwa Ali Mboa na Jet Lumo tena utapata chumba kimoja halafu banda la uani lisilo na umeme wala maji wala choo. Choo unajisaidia kwa majirani.Na mimi natafuta chumba maeneo haya haya ,chumba na sebule pawe na umeme na maji kodi ya jumla isizidi Tshs. 70,000 kwa mwezi.
Mkuu kwa hiyo bei utapata meneo ya Tandale kwa Mtogole, Kwa Tumbo, Uzuri, Tandale Tanesco au kwa Alimaua, Kiwalani Bom Bom, Kwa Ali Mboa na Jet Lumo tena utapata chumba kimoja halafu banda la uani lisilo na umeme wala maji wala choo. Choo unajisaidia kwa majirani.