Natafuta Chumba Kimoja Kwa Siku 13

Natafuta Chumba Kimoja Kwa Siku 13

Mbezi1980

Member
Joined
Feb 27, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Mimi ni mkaka wa miaka 34, naishi nje ya nchi ila narudi Tanzania baada ya muda mfupi ujao. Natafuta chumba kimoja kwa muda wa siku 12 hadi 13 nitakapokuwa Tanzania. Kuna baadhi ya watu wenye nyumba yenye vyumba vya ziada.

Ningependa kupata sehemu kama hiyo maeneo ya Hoysterbay, Mikocheni, Mbezi, Kawe, Bahari Beach, na Kunduchi. Ninasafiri peke yangu. Nitalipia na pia kuchangia chakula

Makazi yangu ni Bunju mwisho, ila kutokana na shuguli inayonileta, sitaweza kuamka kila siku na kuendesha gari hadi mjini bila kuechelewa. Ninachohitaji ni sehemu ninakoweza kupaki gari langu dogo, kupata maji ya kuoga na choo safi. Ningekaa hotelini ila kwa bahati mbaya sipendagi mazingira ya hoteli hasa ninaporudi nyumbani

Tafadhali tuwasiliane kupitia mbezi1980@yahoo.com
 
Wageni wanalala guest house au tafuta apartment za chumba kimoja
 
Usijali huku ulikotaja siku hizi zina appartment za kila kiwango mafisadi wamewekeza huku hasa zile nyumba walizouziana wamehama wamezifanya za biashara labda nikutafutie mpishi na wakukufanyia usafi tu
 
Mininge kukaribisha tatizo maeneo ulio taja sikai huko ungeka bure ndugu kwangu temeke mwisho karibu km hutojari ndugu naish mwenyewe bado sijaoa
 
ningekukaribisha kwangu kuna kila kitu unachotaka sema sikai maeneo hayo ulotaja ila ni karibu na town!
 
kuna apartment maeneo ya Ostabey B karibu na uwanja wa leaders club inapangishwa kwa mwezi $ 1000 full furnished unaweza lipia kwa huo mwezi mmoja . hata kama utaakaa siku 13 . 0647145555
 
Crime record yako?
Hauna magonjwa ya kuambukiza?
Are my daughers and sons safe around you?
Sexual orientation?
 
Mi naishi Mbezi beach, ningekukaribisha kwangu ila tatizo nimeoa mwezi ulopita na mke wangu bado mbichi haswaaah!
 
kuna tangazo liliwekwa u-turn,kipo chumba kwa siku bei nimeisahau lakini haizi laki kwa siku.mahitaji muhimu ndani yapo,na ipo furnished
 
Mkuu taja offer yako, pengine waweza chagua kati ya sehemu tatu nilizonazo mbezi beach/kawe beach, parking ta kutosha na maji mda wote,karibu na bahari pembeni mwa barabara. Btw aina gani ya kilevi unatumiaga??!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom