luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 839
- 1,364
Habari wakuu..
Natafuta chumba cha kupanga kuanzia mitaa ya Mlimani city, Mori, Rufungira, Kwa Remi mwisho makaburini na mitaa karibu na hapo.
Chumba kikubwa na self contained kitapendeza zaidi.
Sijaoa ni mwanafunzi wa Chuo kikuu( Jinsia ME)
Bei isizidi 120,000 kwa mwezi.
PM.
Natafuta chumba cha kupanga kuanzia mitaa ya Mlimani city, Mori, Rufungira, Kwa Remi mwisho makaburini na mitaa karibu na hapo.
Chumba kikubwa na self contained kitapendeza zaidi.
Sijaoa ni mwanafunzi wa Chuo kikuu( Jinsia ME)
Bei isizidi 120,000 kwa mwezi.
PM.