Natafuta chumba cha kufanyia Biashara (Songea mjini)

Natafuta chumba cha kufanyia Biashara (Songea mjini)

Tajiri wa upendo OG

Senior Member
Joined
Mar 15, 2020
Posts
174
Reaction score
243
Nimekuwa nikihangaika kupata chumba Cha kufanyia Biashara kwa muda wa wiki mbili Sasa ambacho kipo eneo zuri linaloendana na Biashara ninayotaka kuifanya, mwenye connection ya watu naweza kupata chumba msaada tafadhari.!!

Ntamuwezesha kdg akifanikisha dili hilo.
 
ungesema unataka kufanya biashara gani ndugu
 
Back
Top Bottom