Natafuta chanzo na dawa ya Breast Inflammation.....

big-diamond

JF-Expert Member
May 23, 2009
421
551
Rejea kichwa cha habari hapo juu....nina mgonjwa anaesumbuliwa na hayo maumivu....anahisi kuungua on her right breast kiasi cha kupandwa na homa iyo hali inapotokea, Ilimuanza kama miezi mitatu iliyopita, tumejaribu kwenda kwenye hospitali kadhaa, zikiwemo muhimbili, Dar Group na Kairuki na kuchukua vipimo kama Ultra Sound na Mammograph..

lakini zote zimeonesha kuwa hakuna uvimbe wowote ama dalili ya kutokea kwa uvimbe...Baada ya vipimo kutoonesha ugonjwa wowote, basi akapewa dawa za maumivu na dawa kuondoa acid na dawa za nerves, ila tangu aanze kuzitumia hizo dawa hakuna afadhali yoyote..

sana sana ni pain killers tu ndo zinazomuondolea maumivu..ila tiba ya kueleweka hajapata mpaka sasa..plus kuna clinic alikwenda temeke akaandikiwa sindano tano za powersef ambazo nazo hazijamtibu...please kuna mwenye uelewa wowote wa hii kitu..maana ni mateso makali...msaada wowote utathaminiwa sana....
 
Kama amekwenda hosptali na kufanyiwa checkup ya kutosha bado shida haijajulikana, nafikiri ni wakati mzuri wa kufanya maombi ya uponyaji manake na hii nayo ni njia ya uponyaji ingawa wengi hatuitumii. Wapo waliofanya maombi na baada ya hapo walipoenda hospt kwa mara nyingine tatizo lilionekana.
 
Kama amekwenda hosptali na kufanyiwa checkup ya kutosha bado shida haijajulikana, nafikiri ni wakati mzuri wa kufanya maombi ya uponyaji manake na hii nayo ni njia ya uponyaji ingawa wengi hatuitumii. Wapo waliofanya maombi na baada ya hapo walipoenda hospt kwa mara nyingine tatizo lilionekana.

Ni kweli kabisa, kwa sasa tupo kwenye maombi, na tunaamini Mungu atafungua njia ya uponyaji siku moja..thanx dada kwa ushauri
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu....nina mgonjwa anaesumbuliwa na hayo maumivu....anahisi kuungua on her right breast kiasi cha kupandwa na homa iyo hali inapotokea, Ilimuanza kama miezi mitatu iliyopita, tumejaribu kwenda kwenye hospitali kadhaa, zikiwemo muhimbili, Dar Group na Kairuki na kuchukua vipimo kama Ultra Sound na Mammograph..lakini zote zimeonesha kuwa hakuna uvimbe wowote ama dalili ya kutokea kwa uvimbe...Baada ya vipimo kutoonesha ugonjwa wowote, basi akapewa dawa za maumivu na dawa kuondoa acid na dawa za nerves, ila tangu aanze kuzitumia hizo dawa hakuna afadhali yoyote..sana sana ni pain killers tu ndo zinazomuondolea maumivu..ila tiba ya kueleweka hajapata mpaka sasa..plus kuna clinic alikwenda temeke akaandikiwa sindano tano za powersef ambazo nazo hazijamtibu...please kuna mwenye uelewa wowote wa hii kitu..maana ni mateso makali...msaada wowote utathaminiwa sana....

Kuna jamaa humu ndani (Jf) anaitwa Mzizi mkavu..mtaalamu sana wa dawa za kisuna hebu mcheki atakusaidia..
 
Tatizo la Doctors wetu wa TZ wanaweza pima ila wakiona kuna hatari mbeleni hawasemi wanakuongezea tuu midawa...kumbe wkt mwingine midawa inazidi kukuongezea sumu.....

Huwa hawapendi kusema ukweli...Ni tofauti na hospitali za wenzetu nje..hawafichi fichi..

Hebu nenda Ocean road... akachekiwe hilo ziwa hata kama hakuna uvimbe..Pili cheki mambo ya hormones nk. nenda kwa doctors wa wanawake.





Ni kweli kabisa, kwa sasa tupo kwenye maombi, na tunaamini Mungu atafungua njia ya uponyaji siku moja..thanx dada kwa ushauri
 
wasiliana nami juu ya hili tatzo 0765650028 whatsaap au piga cm doctor
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu....nina mgonjwa anaesumbuliwa na hayo maumivu....anahisi kuungua on her right breast kiasi cha kupandwa na homa iyo hali inapotokea, Ilimuanza kama miezi mitatu iliyopita, tumejaribu kwenda kwenye hospitali kadhaa, zikiwemo muhimbili, Dar Group na Kairuki na kuchukua vipimo kama Ultra Sound na Mammograph..

lakini zote zimeonesha kuwa hakuna uvimbe wowote ama dalili ya kutokea kwa uvimbe...Baada ya vipimo kutoonesha ugonjwa wowote, basi akapewa dawa za maumivu na dawa kuondoa acid na dawa za nerves, ila tangu aanze kuzitumia hizo dawa hakuna afadhali yoyote..

sana sana ni pain killers tu ndo zinazomuondolea maumivu..ila tiba ya kueleweka hajapata mpaka sasa..plus kuna clinic alikwenda temeke akaandikiwa sindano tano za powersef ambazo nazo hazijamtibu...please kuna mwenye uelewa wowote wa hii kitu..maana ni mateso makali...msaada wowote utathaminiwa sana....

Asante Mkuu...ngoja nim cc...

cc: MziziMkavu
Pole sana ndugu kwa uchunguzi wangu huyo Mgonjwa atakuwa na Matatizo ya hormone,Au Dalili ya ugonjwa wa Kansa ya ziwa na kama umemaliza Uchunguzi wote Ma-Hospitalini na hakuna kitu kilichoonekana ataku amefanyiwa Mambo ya Uchawi na maaduwi zake ndio maana maradhi Hospitali kwa vipimo hayaonekani nitakupa dawa ya muda kwanza huku ukiweza kunitafuta kwa Private messege ninaweza kumtibu mgonjwa wako na akapona. Fanya hivi: Tafuta jani la kabichi liweke sehemu ya maumivu yatapunguwa unaweza pia kuliponda ponda kisha ukaweka shemu ya maumivu ya ziwa litasaidia kupunguza maumivu ya kuvimba kwa maziwa.Ukitaka Dawa kamili waweza kunitafuta kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano

Dr. MziziMkavu msaidie diamond.
;Vipi Mkuu King Kong III Salama lakini?
 
Last edited by a moderator:
mkuu kwanza poleni sana .

Pili matatizo hayo yanaweza kusababishwa na vitu vinne .
1. kwanza kabisa husababishwa na mwanamke aliekuwa ananyonyesha
na pale ambapo anakaribia na hata kuacha kunyonyesha (weaning).

2.Cha pili ni mwanamke anaevuta sigara huwa wanapatwa na uvimbi karibu
na chuchu huwa nyekundu na pia huwasha na wengine maumivu kupita kiasi (periductal mastitis)

3. mwanamke mwenye matiti makubwa hupata matatizo ya ngozi chini ya titi sababu chini ya titi
kuwa ni joto kupita kiasi na hutoa jasho. hilo jasho likiachwa hata kwa muda wa nusu siku
lina jenga maeneo mazuri kwa germs,kama bacteria na fungi kukua.

4. yaweza kuwa ni kutu kikubwa zaidi Breast cancer.


kama ungekuja na maelezo zaidi ni sehemu gani ya titi ndani au nje
labda tungeweza kukushauri viruzi.

Poleni sana kwa mmnayopitia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom