Natafuta Carwash

Natafuta Carwash

Joined
Jun 22, 2019
Posts
31
Reaction score
18
Wadau kwema polen kwa majukumu,jamani kama kuna mtu anajua sehemu nzuri ambapo panaweza funguliwa car wash au kama kuna car wash sehem mtu anapauza kuna Ndugu yangu anatafuta sehem hiyo afanye biashara ni kwa dar es salaam tu wapendwa.
 
nawaza sana hii biashara,naendelea kukichanga kibubu,nikanunue mashine namimi nipige kazi. mashine zinauzwa kiasi ganii
 
Ngoj nikwambie tu arafu uweze tafuta sehemu y car wash inatakiwa iwe n bar au saloon utapiga ela sio iwe pekeake
 
Ngoj nikwambie tu arafu uweze tafuta sehemu y car wash inatakiwa iwe n bar au saloon utapiga ela sio iwe pekeake
Nina eneo mt 100 kutoka barabara ya sheikhlango Sinza A. karibu na ukumbi wa harusi, bar, garage, kinyozi, na mfereji wa kutiririsha maji. Umeme na maji yapo. Ilimradi uwe na mashine zako za carwash na uwe tayari kuweka miundombinu sawa kwa kazi yako.
Nipigie 0672355824, 0754639615 kati ya saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni tuongee biashara aksante
 
Nina eneo mt 100 kutoka barabara ya sheikhlango Sinza A. karibu na ukumbi wa harusi, bar, garage, kinyozi, na mfereji wa kutiririsha maji. Umeme na maji yapo. Ilimradi uwe na mashine zako za carwash na uwe tayari kuweka miundombinu sawa kwa kazi yako.
Nipigie 0672355824, 0754639615 kati ya saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni tuongee biashara aksante
Usileteh habari z tuchangie ww nipange kodi yko kias gn
 
Wadau kwema polen kwa majukumu,jamani kama kuna mtu anajua sehemu nzuri ambapo panaweza funguliwa car wash au kama kuna car wash sehem mtu anapauza kuna Ndugu yangu anatafuta sehem hiyo afanye biashara ni kwa dar es salaam tu wapendwa.
Noo chemba tuzu gumze
 
Nina eneo mt 100 kutoka barabara ya sheikhlango Sinza A. karibu na ukumbi wa harusi, bar, garage, kinyozi, na mfereji wa kutiririsha maji. Umeme na maji yapo. Ilimradi uwe na mashine zako za carwash na uwe tayari kuweka miundombinu sawa kwa kazi yako.
Nipigie 0672355824, 0754639615 kati ya saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni tuongee biashara aksante
Mkuu ili eneo lililishapata muwekezaji??
 
Nina eneo mt 100 kutoka barabara ya sheikhlango Sinza A. karibu na ukumbi wa harusi, bar, garage, kinyozi, na mfereji wa kutiririsha maji. Umeme na maji yapo. Ilimradi uwe na mashine zako za carwash na uwe tayari kuweka miundombinu sawa kwa kazi yako.
Nipigie 0672355824, 0754639615 kati ya saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni tuongee biashara aksante

Mzee ulipata wakuweka mguu hapo?
 
nawaza sana hii biashara,naendelea kukichanga kibubu,nikanunue mashine namimi nipige kazi. mashine zinauzwa kiasi ganii
Za umeme zinaanzia laki 550,000- 950,000 kwa model za edon,easy power,gtm,shakt-p...n.k
Zingine huanzia 1M hadi 2.5M up to 3M kwa model za Edon,Kacher,Lutian,wing-win,g-crus,....n.k,hiyo ya 3M inakuwa ni heavy duty yenye psi kuanzia 3500 na gpm 3.2
Screenshot_20200913-121846_1599989687050.jpeg
Screenshot_20200808-185304_1599831871175.jpeg
Screenshot_20200808-185229.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom