mkuu mwenyewe
Member
- Nov 23, 2013
- 22
- 1
habarini wandugu? miezi michache iliyopita nilianza mchakato wa kuanzisha biashara ya bakery. Cha kwanza nilinunua Mixer mashine (for cakes) kubwa ya lita 20, kisha nikafanya ujenzi wa eneo la mradi ambapo yamebakia matengenezo macheche sana.nature ya biashara itakuwa ni kutengeneza na kusupply cakes kwa wateja niliowatarget . pia nina uzoefu na nimesomea mambo ya baking, kwasasa wakuu nimeshindwa kwasababu uwezo wa fedha ya kununulia oven na startup cost nimekwama.Kwa aliye tayari tufanye pamoja anakaribishwa au kwa mtu yeyote mwenye utayari kuwekeza fedha baada ya miezi 3 hadi 6 fedha nikamrudishia kwa interest na agreement namkaribisha.Fedha inayohitajika ni 5 mill.Kwa maelezo zaidi about business, profitability etc PM or contact ubakery@yahoo.com. thanks