Natafuta Binti wa kuoa

komredi ngosha

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
382
71
Hbr wadau,

Mimi ni kijana wa miaka 30, mhitimu wa chuo kikuu na nimejiriwa ofisi moja hapa Dsm.
Natafuta binti wa kuoa...
Muhimu : awe msabato / ajiandae kubadili dini kua msabato.

Sifa za ziada:
Asiwe mfupi
Awe amesoma angalau elimu yoyote ya chuo kikuu
Awe mvumilivu
Awe na sura nzuri
Umri usizidi miaka 28

Alie serious ani PM. Ahsanteni
 
Hbr wadau,

Mimi ni kijana wa miaka 30, mhitimu wa chuo kikuu na nimejiriwa ofisi moja hapa Dsm.
Natafuta binti wa kuoa...
Muhimu : awe msabato / ajiandae kubadili dini kua msabato.

Sifa za ziada:
Asiwe mfupi
Awe amesoma angalau elimu yoyote ya chuo kikuu
Awe mvumilivu
Awe na sura nzuri
Umri usizidi miaka 28

Alie serious ani PM. Ahsanteni
Nakuombea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hbr wadau,

Mimi ni kijana wa miaka 30, mhitimu wa chuo kikuu na nimejiriwa ofisi moja hapa Dsm.
Natafuta binti wa kuoa...
Muhimu : awe msabato / ajiandae kubadili dini kua msabato.

Sifa za ziada:
Asiwe mfupi
Awe amesoma angalau elimu yoyote ya chuo kikuu
Awe mvumilivu
Awe na sura nzuri
Umri usizidi miaka 28

Alie serious ani PM. Ahsanteni
Im here

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hbr wadau,

Mimi ni kijana wa miaka 30, mhitimu wa chuo kikuu na nimejiriwa ofisi moja hapa Dsm.
Natafuta binti wa kuoa...
Muhimu : awe msabato / ajiandae kubadili dini kua msabato.

Sifa za ziada:
Asiwe mfupi
Awe amesoma angalau elimu yoyote ya chuo kikuu
Awe mvumilivu
Awe na sura nzuri
Umri usizidi miaka 28

Alie serious ani PM. Ahsanteni
Waoooh mm pia nimsabato nipo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom