komredi ngosha
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 382
- 71
Hbr wadau,
Mimi ni kijana wa miaka 30, mhitimu wa chuo kikuu na nimejiriwa ofisi moja hapa Dsm.
Natafuta binti wa kuoa...
Muhimu : awe msabato / ajiandae kubadili dini kua msabato.
Sifa za ziada:
Asiwe mfupi
Awe amesoma angalau elimu yoyote ya chuo kikuu
Awe mvumilivu
Awe na sura nzuri
Umri usizidi miaka 28
Alie serious ani PM. Ahsanteni
Mimi ni kijana wa miaka 30, mhitimu wa chuo kikuu na nimejiriwa ofisi moja hapa Dsm.
Natafuta binti wa kuoa...
Muhimu : awe msabato / ajiandae kubadili dini kua msabato.
Sifa za ziada:
Asiwe mfupi
Awe amesoma angalau elimu yoyote ya chuo kikuu
Awe mvumilivu
Awe na sura nzuri
Umri usizidi miaka 28
Alie serious ani PM. Ahsanteni