natafuta bidhaa hizi

natafuta bidhaa hizi

Konaball

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
2,949
Reaction score
1,940
mnakumbuka hizo hizooo
 

Attachments

  • kimbo.jpg
    kimbo.jpg
    24.4 KB · Views: 545
chupi za VIP wee chezea ikikatika mpira inakuja kifuani ahhh
 
Magimbi ya kuchoma, Vitumbua sh5. Uji wa dona kitafunio ndizi kibungara, Vibama.
 
Mafuta ya Kimbo ya kupikia,sema blue band zipo wamebadilisha vifungio tuu mengine hapo havipo tena.
 
Mafuta ya Kimbo ya kupikia,sema blue band zipo wamebadilisha vifungio tuu mengine hapo havipo tena.

Blue band imebadilika mpaka ladha...blue band ya zamani bwana yaani acha tuu,kweli cha kale dhahabu
 
Mkuu tuwekee na Kimbo, usisahau na viatu vya chachacha/bata a.k.a mwisho saa 6 mchana.
 
Mafuta ya Kimbo ya kupikia,sema blue band zipo wamebadilisha vifungio tuu mengine hapo havipo tena.
Aaah wapi..Blue Band ya leo wachina wameshaingilia kati. Haina ladha kabisa.
 
Daaah ilikuwa Bimkubwa akikorofisha jikoni kwa Super Ghee lazima tumbo lisokote kwa njaa, siku hizi mchuzi unapikwa jikoni upo sebuleni hata mate hayaruki bhana....
 
Mafuta ya Kimbo ya kupikia,sema blue band zipo wamebadilisha vifungio tuu mengine hapo havipo tena.

Cow boy ipo imefunganywa tofauti. Plastic km Kimbo, nazo zipo bado.

TanBond.
Kuna wakati ilijaribu kushinda na Blue Band ila ilipoteza pambano (au labda vita nzima ya 'margarine')! Siku hizi ina harufu mbaya sn. Ilikua poa kwenye uji wa ulezi.
 
Shanti.
Mafuta ya kujipaka. Rangi ya chungwa la msauzi. Manukato yake uspime!!
 
Cow boy ipo imefunganywa tofauti. Plastic km Kimbo, nazo zipo bado.

TanBond.
Kuna wakati ilijaribu kushinda na Blue Band ila ilipoteza pambano (au labda vita nzima ya 'margarine')! Siku hizi ina harufu mbaya sn. Ilikua poa kwenye uji wa ulezi.
Hahaha umetaja Tan Bond hiyo made in Tanzania Tutamuuliza Zito na kamati yake apitie lipo au halipo?
 
Back
Top Bottom