Natafuta Ajira

Natafuta Ajira

Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24. Na si mrembo tu bali ni mchapakazi sana na mwepesi wa kuelewa kitu, na napenda kujifunza pia. Elimu yangu ni ya kidato cha4, Naongea vizuri lugha ya kingereza na kiswahili. Na ni mkazi wa Dar-es-salaam.

Please wakuu naombeni connection za kazi, Nashida sana ya kazi na Mungu awabariki wote.
Huo urembo ni moja ya kigezo?
Tembelea ma bus ya shabiby, selous,tahmeed kaombe kazi
 
Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24. Na si mrembo tu bali ni mchapakazi sana na mwepesi wa kuelewa kitu, na napenda kujifunza pia. Elimu yangu ni ya kidato cha4, Naongea vizuri lugha ya kingereza na kiswahili. Na ni mkazi wa Dar-es-salaam.

Please wakuu naombeni connection za kazi, Nashida sana ya kazi na Mungu awabariki wote.
Kazi ya uhudumu kwenye hotel za kitalii unaweza kufanya?
 
EBwnaa ni pisi kali balaaa...huyu namuweka reception alafu nitakukaribisha mzeya ofisini....ila kula kimasikhara hakuna🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu nitakuwa mwaminifu na kumshauri juu ya mambo ya kimaisha😅 namba zake ntachukua lakini
 
Mkuu nitakuwa mwaminifu na kumshauri juu ya mambo ya kimaisha😅 namba zake ntachukua lakini
Ah huyu lazima wee utataka kumkula tuu ni mrembo hatarii, yaani mwenyewe naona bor nimuchukue kama wife tuu
 
M

Mkuu vipi mbona unacheka!!nimemuuliza tu kama anaweza fanya kazi kwenye hotel za kitalii!!kwani kuna nafasi huko, hata kwa vijana wa kiume wenye uhitaji.
Mrembo hawezi shindwa huyo
 
Usiwe na wasiwasi mrembo wee kazi unapata na pia utamilikishwa kampuni kabisa. Ushindwe wewe tuu. Ila mitego kwa boss haikubaliki. Mitego ni kwa wateja tuu
 
Back
Top Bottom