MegamindTz
New Member
- Feb 21, 2021
- 3
- 2
Habari wakuu,
Mimi mwanafunzi wa chuo cha ufundi Arusha, diploma ya umeme.
Natafuta ajira (party-time) ya kukidhi maitaji ya chuo.
Uzoefu wangu na elimu ni: secondary school; Don bosco technical school (division 2)
Advance school; Tarakea sec school (division 3)
Currently, Arusha Technical college in diploma of electrical engineering
Nimewahi kufanya kazi ya kibarua;
Rhino cement-Tanga (production)
Simba cement-Tanga (shut down)
Katika kazi hizo nimeweza kujifunza kuoperate wheel loader
Soft skills
Team work
Schedule to complete tasks
Uvumilivu wa kazi ngumu
Communication skills
Ubunifu wa kukamilisha kazi kwa wakati
Kujifunza kazi mpya kwa haraka.
Pia nina ujuzi wa:
Computer
English language.
Asanteni sana,
Mapendeleo yangu nikikutana na muajiri, naweza kufanya kazi mbalimbali mbali field ya masomo yangu bila kujali ni hotel, restaurant, kibanda cha chip, store, usafi, delivery, secretary, fundi, kupika ama shughuli yoyote ambayo nitaifanya katika muda ukiacha ule wa masomo.
Mimi mwanafunzi wa chuo cha ufundi Arusha, diploma ya umeme.
Natafuta ajira (party-time) ya kukidhi maitaji ya chuo.
Uzoefu wangu na elimu ni: secondary school; Don bosco technical school (division 2)
Advance school; Tarakea sec school (division 3)
Currently, Arusha Technical college in diploma of electrical engineering
Nimewahi kufanya kazi ya kibarua;
Rhino cement-Tanga (production)
Simba cement-Tanga (shut down)
Katika kazi hizo nimeweza kujifunza kuoperate wheel loader
Soft skills
Team work
Schedule to complete tasks
Uvumilivu wa kazi ngumu
Communication skills
Ubunifu wa kukamilisha kazi kwa wakati
Kujifunza kazi mpya kwa haraka.
Pia nina ujuzi wa:
Computer
English language.
Asanteni sana,
Mapendeleo yangu nikikutana na muajiri, naweza kufanya kazi mbalimbali mbali field ya masomo yangu bila kujali ni hotel, restaurant, kibanda cha chip, store, usafi, delivery, secretary, fundi, kupika ama shughuli yoyote ambayo nitaifanya katika muda ukiacha ule wa masomo.