Hassan Mtawa
Member
- Sep 6, 2016
- 43
- 24
Sina ajira hadi sasa nipo kitaa na nina vyeti kamilifu vya diploma issue Rais Magufuli katusahau na nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote TZ.
Nikiwa kama mdau wa JF kama kuna mwenye news yeyote kuhusu fani yangu please for help kitaa hakuendi.
Nikiwa kama mdau wa JF kama kuna mwenye news yeyote kuhusu fani yangu please for help kitaa hakuendi.