WISE G THE BRAIN
New Member
- Jan 17, 2013
- 4
- 1
Habari wana JF mimi ni kijana wa kiume nimesoma BA of Arts with Education St augustine university (2015) nikafanikiwa kupata kazi kwenye kampuni ya mawasiliano kama mzimamizi wa mauzo kwa miaka miwili mpaka mkataba ulipoisha, kwa sasa natafuta kazi katika kada ya Elimu,Au kwenye NGO au kazi ya Mauzo kwenye kampuni yoyote Dar es salaam na mikoani.ni kijana ambae ntakupa matokeo mazuri katika kazi yako na ni muaminifu.
ASANTENI
ASANTENI