Unaseti mwenyewe mkuu,Maana ukiwa na copy ya taarifa za ulipolipia kodi yako una update na kujitoa kwenye mfumo wa awali. Mfano mm nilikuwa inasoma marekan nikaenda kulipia huku tz nikaaatch zile taarifa nikahamishasihitaji yenye matangazo mkuu, nahitaji adsense iliyosetiwa UK