ni msichana nina miaka24 natafta mchumba mwenye kazi but except mwalimu awe mkristo
walimu tumekukera nini?
Umejiunga jana Leo unataka mchumba. Huku mitandaoni sio salama sana.
Iringa Umesharudi? Kwahiyo Sisi Walimu Ndiyo Hatujui KUBANDUA au Hatuna HELA au? Tufafanulie Mkuu Tafadhali.
unamfundisha usalama wa huku? from the beginning amesema hataki mwalimu...na najua amejiunga huku kwa sababu si salama I mean aidha yeye si salama au huku si salamaUmejiunga jana Leo unataka mchumba. Huku mitandaoni sio salama sana.
ni msichana nina miaka24 natafta mchumba mwenye kazi but except mwalimu awe mkristo
Ni msichana nina miaka24 natafuta mchumba mwenye kazi but except mwalimu awe mkristo.