u-job hopper nao kazi! Au saa zingine una kimeo chako magumashi afu wajuba wanaona mamihuri ya afghanistan. Ndo mwanzo wa kuundiwa tume. Ila p.o box inabidi nimpe hgelo funguo kila nikimlipa mshahara akaangalie barua. Manake nachoka, sipati hata moja.
Unanikumbusha enzi za Secondary School tukiwa Assemble basi wanaanza kuitwa majina waliotumiwa barua na ndugu zao, mimi hola!! aisee ilikuwa inauma sana unajiona kama kitu gani sijui.
Unanikumbusha enzi za Secondary School tukiwa Assemble basi wanaanza kuitwa majina waliotumiwa barua na ndugu zao, mimi hola!! aisee ilikuwa inauma sana unajiona kama kitu gani sijui.