natafu rafiki wa email

He he he, hii mambo ya kuletewa barua na mwingine ina gharama zake

Mie baba aliwahi niletea barua, nadhani njia nzima alikuwa anatamani kuisoma
Enzi hizo niko high school, kivulana kimetuma kadi ya xmass

 
He he he, hii mambo ya kuletewa barua na mwingine ina gharama zake

Mie baba aliwahi niletea barua, nadhani njia nzima alikuwa anatamani kuisoma
Enzi hizo niko high school, kivulana kimetuma kadi ya xmass
Unanikumbusha enzi za Secondary School tukiwa Assemble basi wanaanza kuitwa majina waliotumiwa barua na ndugu zao, mimi hola!! aisee ilikuwa inauma sana unajiona kama kitu gani sijui.
 
Yote tisa, kumi jina langu lilikuwa likotokea kwenye T.M.O naskia kama kupaa

Afu kuna siku nilipata kadi ya kuuuubwa ya 'I kopa U' mbona nilitambika

Unanikumbusha enzi za Secondary School tukiwa Assemble basi wanaanza kuitwa majina waliotumiwa barua na ndugu zao, mimi hola!! aisee ilikuwa inauma sana unajiona kama kitu gani sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…