abousumaiya
Member
- May 11, 2017
- 28
- 19
Aslaaam aleikum
Serious natafta mke muislaam ...umri Wangu ni miaka 36....awe na umri wowote Ila lazma aidha ajue dini au awe tayari kusoma dini
Awe na hofu na mwenyez mungu...awe tayari na majukumu ya ibada ya kiislam ikiwemo swala tano nk
Hata Kama ni c muislam awe tayari kucomvert
Ila pia awe tayari kwa kujistiri kiislam na ki sunnah kabisa
Awe tayari kutoshiriki Zina Mpaka baada ya ndoa
Ila awe mpole mcheshi sio Kama askari,pia Akiwa masogange style
Ndo maradhi yangu yalipo japo ntapokea mungu atakacho Nina
Ni pm kwa serious gul tu please
Serious natafta mke muislaam ...umri Wangu ni miaka 36....awe na umri wowote Ila lazma aidha ajue dini au awe tayari kusoma dini
Awe na hofu na mwenyez mungu...awe tayari na majukumu ya ibada ya kiislam ikiwemo swala tano nk
Hata Kama ni c muislam awe tayari kucomvert
Ila pia awe tayari kwa kujistiri kiislam na ki sunnah kabisa
Awe tayari kutoshiriki Zina Mpaka baada ya ndoa
Ila awe mpole mcheshi sio Kama askari,pia Akiwa masogange style
Ndo maradhi yangu yalipo japo ntapokea mungu atakacho Nina
Ni pm kwa serious gul tu please