Ni takriban mwaka wa tatu nikiwa na nasumbuliwa na tatizo la meno kutoboka hvyo kupelekea kung'olewa jino lakini kwa miez sita nimekuwa nikiziba Ila tatizo linalonisumbua kila nikiziba meno baada ya miez mitatu kupita fizi zinavimba na ninapata maumivu makali. Naomba msaada wenu kwa ushauri niondokane na tatizo hili.