johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,937
- 141,911
Mbunge Nassari amesema amerekodi ushahidi wa kutosha wa jinsi madiwani walivyokuwa wakishawishiwa na kupokea rushwa huko Arumeru. Amesema upelekaji wa ushahidi huo hautakuwa na mwisho kama ilivyo tamthiliya ya Isidingo. Source ITV habari!!