Nasinzia Remix

kwani nameless mwenyewe anasemaje..?
 
Nyimbo nyingi Kali za zamani zikitolewa remix huwa zinakuwa chini ya kiwango ya ile original yake

Kwahiyo ni kawaida hiyo
 
Zamani itabakia kua Zamani, ushaelewa labda iimbiwe miondoko ya kufokafoka ndio utaona imebamba, yaan hio nasinzia humo huyo Msanii upcoming angeimba kwa kifokafoka ungeona imebamba sababu ya nyakati na wakati, wakati ule hakukua na miziki ya kuamsha masogoli vinyamkera wenyewe wanaita Singeli
 
Your browser is not able to play this audio.


Nameless kamficha Marioo...

Quality ya production imeboreshwa, mixing na mastering imeboreshwa...

kazi nzuri..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…